Juu ya Huduma yangu.
Naitwa David Stamen. Mimi ni Mwingereza. Naishi hapa Uingereza. Kwa mara ya kwanza nilikuja Tanzania mwaka 1991. Nilikaribishwa kuhubiri na kufundisha semina katika makanisa huko mkoani Iringa na tokea hapo nimekuwa nikija Tanzania mara moja au mbili kwa mwaka nikihubiri pamoja na kufundisha Injili ya Bwana Yesu pamoja na kusaidia kazi ya Bwana makanisani. Nafanya kazi hasa katika mkoa wa Morogoro na nategemea kuanzisha huduma huko Dar Es Salaam. Ninafundisha na kufanya semina kwa wachungaji, viongozi na watumishi wengine wa Mungu, pamoja na vijana na wanafunzi mashuleni. Huduma hii imefika hadi katika makanisa ya maeneo ya Wamaasai. Katika kufanya kazi hii siwakilishi chama chochote wala shirika au hata dhehebu kutoka hapa Uingereza. Isipokuwa nilijiunga na waumini waliopo mkoa wa Morogoro na hapo kwa sasa ndio makao yangu makuu kihuduma. Lakini nafanya kazi ya Mungu pamoja na waumini wa kweli mahali po pote ninapokaribishwa hapo Tanzania. Najua moyoni wangu kuwa Mungu ameniongoza kufanya kazi hii hapo Tanzania ninao moyo na wito wa kumtumikia Bwana Yesu huko Tanzania kwa kadiri ya neema yake. Huwa sitozi pesa wala sitafuti pesa yoyote kwa huduma hii. Najitoa bure tu kwa ajili ya kazi ya Bwana. Zaidi ya hayo yote ninawasaidia makanisa na waumini kwa mahitaji mengine, kama yatima na wajane.
Kama umebarikiwa kwa kusoma au kusikiliza jumbe kupitia tovuti yangu, ‘somabiblia.com’, na unapenda kunikaribisha kwa ajili ya mafundisho ya Biblia, unaweza kuniandikia kwa email yangu: dsta12@hotmail.co.uk au unaweza kunipata kwenye facebook na jina David Stamen.
Hapo chini, nipo Dumila kwenye nyumba ya mtafsiri wangu.
Nafurahi sana kuwepo pamoja na washirika porini na kuhubiri Injili! Mimi na mtafsiri wangu huko Mororoi, karibu na Dumila.
Niliwasaidia waumini wa Mororoi kujenga jengo lingine (hapo chini).
Nilihemishiwa kulala katika nyumba ya asili. Nimefanya hivyo mara nyingi!
Tuliwasaidia waumini maskini wakati wa njaa. Na ninawasaidia wajane na yatima.
Nilifundisha kwenye semina ya CASFETA huko Morogoro. Wanafunzi wa shule ya sekondari na chuo kikuu.
Hapo chini tunaona vyoo bila milango kwa ajili ya wanafunzi 500 wa shule ya msingi huko Gairo. Niliwahurumia sana!
Niliwasaidia wapate milango. Walifurahi saaaana!
Zaidi ya hayo tunahubiri Habari Njema ya Yesu Kristo!















Raphael
May 22, 2015 at 9:47 am
Karibu pia Zanzibar. Tunakuhitaji huku kwa ajili ya kazi ya Mungu. Napenda sana mafundisho yako na nimekuwa nikufatilia sana. Tutagarimia malazi na chakula during your stay.
Raphael Masese.
Mzee wa kanisa TAG (chuini)
Raphael
May 22, 2015 at 10:02 am
Tafadhali tunakukaribisha njoo Zanzibar. Tunatamani kile ulichonacho/alichokiweka Mungu ndani yako nasi tunufaike kiroho. Karibu sna. Naomba kusikia kutoka kwako through my email address ( rmmbunduki@bot.go.tz)
Ibrahim mwinuka
May 23, 2015 at 10:11 am
Karibu sana kanisa la Zambia Huduma yako imekuwa Baraka sana kwangu Karibu MUNGU akubariki
Anonymous
May 23, 2015 at 12:05 pm
Nasi tunakuhitaji kwa mafundisho mazuri sana,karibu dar.
dsta12
May 23, 2015 at 12:28 pm
Asante Ibrahim. Nitawakumba kama ikiwa nitapata nafasi ya kuja Zambia!
Paulo IsY
May 23, 2015 at 12:53 pm
Karibu sanaArusha wilaya ya Monduli kata ya mtowambu
dsta12
May 26, 2015 at 7:58 pm
Asante Paulo! Kama nikija Arusha siku moja nitakumbuka!
YUSUPH Z LUSINGO
May 26, 2015 at 2:40 pm
NIMEFURAHI SANA BABA JUU YA HUDUMA HII’ SINA LAKUSEMA ZIDI YA KUFURAHI WITO HU MKUBWA NAMNA HII,LAKINI NAJIULIZA HUDUMA HII ITA NIFIKIAJE ILI KUUNGANA MANA MIMI NINA TUMIKA KATIKA MAOMBEZI ‘NINA FANA HUDUMA KITUO NI NYUMBANI KWANGU SASA SIJUI NIFANYE NINI ILI NIWE KARIBU NAWE BABA nipo tanzania mkoa morogoro wilayani gairo kijiji chakwale watu ni wengi lakini mazingila ni magumu kihuduma pia niko tayari nikishauriwa:
dsta12
May 26, 2015 at 8:02 pm
Asante Yusuph! Kwa neema ya Mungu nitafika Gairo Septemba, yaani, nitafundisha katika kanisa huko Moleti karibu sana na Gairo. Nilikutumia urafiki kupitia facebook na utakapopokea, tunaweza kuwasiliana kupitia facebook – au unayo email anwani? David
Eliya Julius
June 1, 2015 at 7:29 pm
I want to be your partner in dar es salaam. JESUS COMING SOON.
THANKS
PST.Pascal Nyangi
June 5, 2015 at 10:10 am
Nimefurahi kusikia huduma hii Mungu akubariki sana.Mimi namtumikia Mungu hapa dar tz, nimeona changamoto kubwa sana kwenye kazi ya Mungu. Najipanga vilivyo kwa ajili ya kumtumikia Mungu. Nimekuwa nikimtumikia Mungu kama mchungaji wa Kanisa la Pentecostal Holiness Mission japo mimi ni mfanyakazi wa serikali. Najiandaa kustaafu kazi ya serikali ili nifanye kazi ya Mungu tu.
Pascal Nyangi
June 7, 2015 at 6:13 pm
Ninafurahia sana Huduma hii hasa ninaposoma màsomo yenu nà kusikiliza audio za masomo haya na nimefurahia zaidi nilipoona picha za huduma mlizofanya Morogoro sehemu ya dumila.Mungu awabariki sana kwa Huduma,
dsta12
June 7, 2015 at 6:34 pm
Nafurahi umebarikiwa!
PST.Pascal Nyangi
June 8, 2015 at 6:16 am
Maono yangu juu ya kazi ya Mungu ni kuwa natamani niweze kuwa na muda mnzuri wa kumtumikia Mungu, ndiyo maana najiandaa kustaafu kazi ya Serikali. Tangu nianze kumtumikia Mungu nimeanzia kufanya kazi ya Mungu pale Kinondoni na nimeacha kanisa ambalo tayari tulifanikiwa kuwa na jengo la kwetu na kazi ya Mungu inaendelea vinzuri. Nilikuja huku Temeke kufungua kazi nyingine na tunaendelea nayo ila huko bado kuna changamoto kubwa hasa ya kimazingira kwani bado hatujawa na jengo la kanisa la kwetu tunapanga (tunakodi) sasa hili jambo kwa sababu hatujawa na uwezo kifedha wa kununua uwanja wa kwetu, tunashindwa kufanya mambo mengi ya huduma. Mfano tumeanzisha huduma ya watoto, tuna madarasa ya watoto hawa tunawafundisha neno la Mungu na tunawasaidia baadhi ya mahitaji yao hasa ya shule maana wanasoma. sasa changamoto ya kukosa madarasa maalum na ofisi kwa ajili ya huduma hii imekuwa ni kubwa. Tungekuwa na kiwanja na majengo yetu hili hangesumbua. Maono yangu hasa juu ya kazi ya Mungu ni kufanya kazi Mungu kama Mchungaji, kuwa na huduma ya kuwalea au kuwasaidia watoto wenye mazingira magumu kuwafundisha neno la Mungu kama tuluvyoanza sasa,kuwasaidia watoto yatima na wajane na kupanda makanisa sehemu ambazo bado, dar ni kubwa sana na ina watu wengi lakini bado hatujaifikia. Natamani kufanya hayo na ndiyo shauku yangu. Kwahiyo changamoto ni hizo hasa, nina imani kubwa kuwa Mungu atafanikisha maono haya ,Mungu akubariki.
Pst Pascal
dsta12
June 10, 2015 at 8:00 am
Ni kazi nyingi! Mungu akuongoze kwa njia Zake!
Pascal Nyangi
June 10, 2015 at 8:57 am
Nilitamani sana kujua ratiba yenu ya huduma mtakapokuwepo dar es Salaam
dsta12
June 10, 2015 at 9:34 am
Pascal, nipe email address yako na nitakuitumia ratiba yangu. Ya kwangu ni dsta12@hotmail.co.uk
richard mbumi
June 12, 2015 at 8:19 am
Mimi ni pastor niko Arusha Tanzania nimependa huduma yako nipigie nambar 0759085000
nathaniel kipanga tunduru
August 20, 2015 at 3:35 pm
nimefurahi kuona huduma unazotoa mungu akubariki kwa kazi yako karibu tunduru
dsta12
August 20, 2015 at 3:56 pm
Asante sana, Nathaniel!
Faraja
September 20, 2015 at 3:29 pm
be…blessed…the…man…of…God
mbungeelectronics
October 10, 2015 at 12:32 pm
bwana asifiwe mtumishi nimefurahisana kusoma taarifazako napendakukukaribisha Tanzania iringai
Rev Ezekiel Ole Sasine
November 9, 2015 at 12:36 am
Njoo na karibu pia hapa kwetu mbeya na iringa. Mimi ni mwalimu wa chuo cha biblia kwa wafugaji cha ilambilole iringa
Joshua Mwakasege
November 15, 2015 at 12:40 pm
Karibu Sana Kilimanjaro Tanzania
Kurwa Mar
November 21, 2015 at 8:25 pm
Karibu kigoma kufundisha neno la Mungu,
Frank Mwasenga
December 21, 2015 at 4:15 am
nimefurahishwa sana na huduma yako,natamani kujiunga na huduma yako, Mimi nipo KKKT kimara-king’ongo E-mail yangu ni frank66jack@yahoo.com simu. ni 0784840303,Mimi hapa ni katibu .msaidizi wa uamsho kanisani
kamerina kanini
April 6, 2016 at 7:56 pm
nina taka biblia kwenye sim ya ngu
DOTO OROM
April 28, 2016 at 7:25 am
MUNGU NAAZIDY KUKUFUNULIA KTK KAZ YAKE NA UITENDE KWA UAMINIFU AMEN NIMEFURAHISHWA SANA NA HUDUMA YAKO KWA MUNGU.N
Peter Mattimba
May 23, 2016 at 2:58 pm
Mtumishi Wa Mungu Ubarikiwe Sana Kwa Kazi Nzuri. Mimi Ni Mch. Peter Mattimba Mwanzilishi Wa Huduma Ya Full Evangelical Salvation Gospel Ministry Dar Es Salaam, Huduma Yetu Bado Changa, Ninaomba Ushirikiano Wako, Karibu Dar Es Salaam Nitakuwa Mwenyeji Wako,
dsta12
May 23, 2016 at 3:31 pm
Peter Matttimba, asante kwa ujumbe wako lakini kama ukitaka kuwasiliana nami, lazima unipe email au numba ya simu yako. Asante.
Mch. Peter Mattimba
May 24, 2016 at 8:13 pm
Ubarikiwe Sana Kwa Huduma Nzuri, Yenye Maana . Mimi Ni Mch. Peter Mattimba Mwanzilishi Wa The Full Evangelical Salvation Gospel Ministry Hapa Dar Es Salaam, Naomba Ukija Karibu Niwe Mwenyeji Wako, Katika Utumishi Tutumike Pamoja Pia, Ubarikiwe Sana !
Jastni mekacha
September 3, 2016 at 2:56 am
Napenda muumba
Anonymous
November 23, 2016 at 1:33 pm
KARIBU SANA SINGITA
Anonymous
February 1, 2017 at 11:12 am
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa huduma hii ambayo Mungu ameiweka ndani yako.
Fabian
February 1, 2017 at 11:14 am
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu, ni jambo lenye hekima na hazina kubwa kujitoa kwa ajili ya kazi ya Mungu.!
ROSE JOHN FORCUS NYON
February 14, 2017 at 9:46 am
KARIBU SANA MBEYA KANISA LA (EAGT ) MWANJELWA MAFYAT MUNGU AKUBARIK
JOEL e mweta
April 14, 2017 at 4:11 pm
hongera hongera kwakazi hii njema tuliyo itiwa kwamba tuifanye lakin mm ninaswal
kwamba katk mafundisho meng unayo fundisha je sabato ya biblia ww kama mtumish una itazamaje na unaifundishaje ?
maan zabur 56:6 -7 inasema sabato ninyumba yangu ya sala kwa mataifa yote
ww kama mtumishi una washawi shije waumin kuitii amri hii
Gabriel Masakwi
May 30, 2017 at 7:25 pm
God’s will upon man cannot be prevented, I believe you’re facing a lot of challenges, being a pullback to avoid the planned idea and goals to people of Tanzania, but he who started this will complete it, may you be strengthened and protected together with you co-workers man of God by the fresh living blood of Christ Jesus, amen. You are blessed
jacjson magesa
June 9, 2017 at 3:42 am
hongera kwa kaz nzur unayo ifanya nahtaji kufanya kazi na wewe mimi naitwa jackson magesa wa mugumu serengeti mkoa wa mara
MWALIMU SIGSMUND WOISSO
June 20, 2017 at 6:42 am
HII NDIYO HUDUMA YA KUJITOA. NIMEONA WIVU MTAKATIFU. BARIKIWA NA BWANA NAMI NITAMUOMBA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI.
gladness orgeness
June 29, 2017 at 9:33 am
Mungu akubariki sana kwa huduma yako. Ukweli ni kwamba imenifungua ufahamu wangu na, na, kwa wale wanaotuhubiria injili za kutafuta utajiri naomba wakopy injili ya kirsto kwa David. Nimejaribu kuprint handout zako nazisoma kila wakati. kwa sasa mtu hanidangaji na mahubiri yake ya kitapeli. Karibu sana Kibaha mkoa wa Pwani uje utupe injili ya kweli.
Anonymous
August 16, 2017 at 7:35 am
Amina Mungu akubariki sana, makala na mafundisho yako yamekuwa nguzo kwangu. Nakufuatilia sana na nimetumia hadi makala zako kufundishia na masomo yako nimeyatumia pia yamekuwa baraka kwangu na yamekuwa baraka kwa watu wengine pia. Mungu akutie nguvu kuendelea na huduma hii
Davidi Chacha
August 16, 2017 at 7:37 am
Amina Mungu akubariki sana, makala na mafundisho yako yamekuwa nguzo kwangu. Nakufuatilia sana na nimetumia hadi makala zako kufundishia na masomo yako nimeyatumia pia yamekuwa baraka kwangu na yamekuwa baraka kwa watu wengine pia. Mungu akutie nguvu kuendelea na huduma hii
Anonymous
September 23, 2017 at 11:19 am
Ubarikiwe sana kwa kazi nzuri. Kwa mafundisho email yangu ni lshangali@hotmail.com
Anonymous
October 10, 2017 at 6:08 am
barikiwa sana mtumishi Mungu aendelee kukuinua zaidi nimefurahiswa na huduma yako karibu uje kwetu Monduli kwa huduma mtumishi Email yangu ni Hannah_sam62@yahoo.com barikiwa zaidi na karibu sana.
Anonymous
January 4, 2018 at 11:33 am
MUNGU AKUBARIKI KWA HUDUMA YAKE ALIYO KUITIA
evarist tumba
February 15, 2018 at 10:19 am
may god Bless you sir , u are welcome again to tanzania, my name is pastor Evarist tumba of kanisa la Mji mtakatifu ( the church of the holy land) Dar es salaam contacts +255 716 96 80 33
EV,MCHUNGAJI,PHINIAS ODONGO OGANGA
March 6, 2018 at 1:19 pm
Mtumishi wa mungu akika huduma yako ni huduma huru,imepata kibari moyoni mwangu,nami bwana amenipa kibari cha kusimika huduma huru isiyo fungamanishwa na chama,dini,au,theebu itwayo (UFUNUO WA UMOJA WA ROHO URIMWENGUNI) ninashauku ya kuungana nanyi iri kuieneza injiri ya Wokovu wa yesu kristo.Naomba mtutemberee kanisa limefuraiya kupata tarifa ya utendaji wa ujenzi wa ufalme wa Mungu.Tuko mkoa Mara,wiraya Serengeti mji Mugumu Mtaa chamoto.
Kwenye facebook natumia jina( PHINIAS ODONGO)
Ninawakaribisha watumishi wa Mungu ninapatikana kwa sim namba,0683416008.Namungu awajariye miguu mwepesi ya kufika Serengeti amina.
john kwambaza
March 3, 2018 at 4:47 am
praise the Lord, my name is John Kwambaza.I got to know you a servant of God through facebook,congratulation for the good job.My concern is to ask if i can join you in serving our Lord Jesus in your service.Thank you
dsta12
March 8, 2018 at 5:11 pm
Phinias, tayari nimeshakutumia email. Je, umeipata? Numba ya simu yangu ni +255 7985653844.
nelson eliud
April 3, 2018 at 6:25 pm
Ubarikiwe na Mungu azidi kukupa afya njema uzidi kulisha kondoo wa bwana chakula cha roho
Nepasnay rokoine
July 7, 2018 at 11:47 am
jamani ni huduma nzuri sana hakika mungu atakubariki kweli,
Hansmleke
October 2, 2018 at 3:42 pm
NIMEFURAHI SANA KUONA HUDUMA HII. MIMI NI MCHANGA KIIMANI BABA YANGU NI MUISLAMU MAMA NI MKRISTO , NAMIAKA 30 NAISHI MOROGORO, ELIMU YANGU NI KIDATO CHA NNE.
NAITWA HASSANI MLEKE,
KWA JINA LINGINE HANS MLEKE
PHONE NO +255744468364
EMAIL nabiihans@gmail.com
Edina lwanda
October 18, 2018 at 8:23 pm
Mungu akubarik sana kwa ajili ya kazi yake sifa na utukufu na kwa Mungu wetu
Joseph mambo
November 6, 2018 at 8:25 am
Mungu awabariki ksa kazi njema mnayo ifanya kwa ajili ya mwili wa kristo(kanisa)
Hansmleke
December 14, 2018 at 6:56 pm
Mungu akubariki mtumishi
Rogers Mahanyu
July 5, 2019 at 5:24 pm
Barikiwa sana.
Anonymous
August 17, 2019 at 4:17 pm
God bless you for service
Stephen Rwajekare Rwamakuba
August 24, 2019 at 3:00 pm
Asante kwako mtumishi wa Mungu.Karibu sana pia kwetu kambini Rwamwanja/ Kamwengenchini Uganda ambamo wakimbizi wakongoman iwamehifadhiwa.Kama makanisa ya kibatista tulio kambini humu tungefurahishwa sana na kutuweka kwenye programu zako mwakani.Mungu akuwezeshe.