TAFUTA
YOUTUBE JUMBE
SOMO LA WIKI
Ujumbe wa Mwezi: Yesu Anatosha
NYIMBO
KANISAFORUM
SIKILIZA NYIMBO
Pages
- ‘Siku ile’ ni siku ya nini? Yohana 14:20
- ‘Siri ya Mafanikio’
- ‘Worship Bands’ and Worship. How modern music is ruining true worship.
- A TRUE UNDERSTANDING OF THE WORD OF GOD
- AGANO LA KALE LINATUPELEKA KWA KRISTO
- Answer
- Articles in English
- Audio Agano Jipya Kiswahili
- Biblia kwa Kiswahili na Kiingereza : Download
- BIBLIA NA KAMUSI
- Bwana Yesu Kristo hakufa Msalabani ili atimize Ndoto Yako
- Changamoto: Semina ya Viongozi 2016
- Chimbuko Na Upotofu wa Kanisa la Waadventista Wasabato
- Contact
- Creation and Theistic Evolution
- Dalili za Mtumishi wa Mungu kwelikweli
- DAMU YA YESU SIO HIRIZI.
- DHAMBI ZA TAIFA (MAKALA)
- Do you judge God by your Circumstances?
- DO YOU NEED YOUR PASTOR’S PERMISSION ABOUT WHO YOUR FUTURE BRIDE SHOULD BE?
- DON’T WORRY!
- DOWNLOADS
- EE MUNGU, MUNGU WANGU
- ENGLISH ARTICLES
- English Grammar
- English Page
- EPUKA MTEGO WA ADUI
- FALSE PROPHETS OF ‘SUCCESS’
- Following your dreams or the will of God?
- Generational Curses
- HABARI
- Hadithi za Biblia kwa KIMAASAI
- Hadithi za Biblia kwa Kiswahili
- HAMJUI NI ROHO YA NAMNA GANI MLIYO NAYO
- Hila na mbinu za Shetani na jinsi ya kuzishinda. Vita vya Kiroho kweli kweli.
- History and False Teachings of the SDA
- Huduma na Pesa.
- HUDUMA YA UPAKO – YA KWELI NA YA UONGO
- IMANI YA KWELI
- INJILI YA MAFANIKIO INAVYOLIANGAMIZA TAIFA.
- ITINERARY MAY / JUNE 2016
- JE, IPO NGUVU KWENYE MANENO YAKO?
- JE, MUNGU ANANIADHIBU KUPITIA MATESO?
- JE, MUNGU HUTOA MAFUNUO MAPYA NYAKATI HIZI?
- Je, naweza kujua mapenzi ya Mungu kwa maisha yangu?
- JE, TUKO HATARINI YA KUPOTEZA HIKI KIZAZI KIPYA?
- Je, Tukusanyike Siku Gani Kati ya Jumamosi na Jumapili?
- JE, UNAIFUATA DINI YA USHIRIKINA AU UNAMFUATA YESU?
- Je, unampima Mungu kwa kuangalia Mazingira yako?
- Je, Unampima Mungu kwa Kutazama Mazingira Uliyo Nayo?
- JE, UNAPENDA KUWA MTAJIRI?
- Je, unapenda kuwa mtu wa Mungu?
- Je, unatafuta ndoto zako au mapenzi ya Mungu?
- Jesus Film Kimaasai
- Jesus Film Kiswahili
- Jinsi ya kuepusha Udanganyifu na Mafundisho ya Uongo.
- Jitahidini kuingia kwa kupitia mlango mwembamba
- Jumbe kwenye Youtube.
- JUMBE ZA KUSIKILIZA (AUDIO)
- JUU YA FUNDISHO LA ‘ROHO YA KUCHELEWESHA’
- Juu ya Huduma yangu.
- JUU YA KUIMBA NA KUCHEZA (DANCING) MAKANISANI
- Juu ya Laana 2
- JUU YA MFUMO WA KUIWEKA WAKFU ARDHI AU NYUMBA YAKO.
- Kamusi / Dictionary: Swahili-English-Swahili
- KANISA NI NINI?
- KANISA TUKUFU LA YESU KRISTO TURUDI TENA KWENYE KUMHUBIRI KRISTO.
- Kazi ya Shetani
- KIMAASAI AGANO JIPYA AUDIO
- Kiswahili Agano Jipya Audio
- KUABUDU
- Kuhusu Kujua Mapenzi ya Mungu kwa Maisha Yako
- KUHUSU LAANA (MAKALA)
- Kuhusu Ulipaji wa Mahari
- KUMFUATA YESU 2
- KUMFUATA YESU 1
- Kumjua Mungu
- Kusudi la Majaribu
- Kutoa Pesa: Baraka au Biashara
- KUWEKWA HURU MBALI NA DHAMBI
- KWA KWELI MIMI NAPATA SHIDA SANA. MUNGU TU ANIREHEMU KAMA NAKOSEA.
- KWA MUJIBU WA BIBILIA, JE, NI SAHIHI UPATE KIBALI CHA MCHUNGAJI WAKO KWANZA KABLA YA KUMTAFUTA MCHUMBA WAKO UMPENDAYE?
- Maagano ya Mungu
- Maana na Tafsiri ya Ndoto
- MAFUNDISHO JUU YA MAOMBI
- Mafundisho ya Biblia juu ya Laana 1
- MAKALA YA KUSOMA
- Mambo Machafu kwenye Internet
- Mambo ya Zaka, Utoaji, Sadaka, Fungu la Kumi na Pesa.
- Manabii wa Uongo: ‘Mafanikio’
- MASOMO MAFUPI YA KUTIA MOYO
- Money and Ministry
- MSIUPENDE ULIMWENGU
- Mtu ajulikanaye mbinguni.
- MVAENI BWANA YESU KRISTO
- MWENYE HAKI AU MWENYE DHAMBI?
- NA KATIKA KUTAMANI WATAJIPATIA FAIDA
- NAKWENDA KUWAANDALIA MAHALI. KWA NINI YESU ALIKUFA.
- Nani atakaye kumtumikia Bwana?
- NAYAHESABU MAMBO YOTE KUWA NI MAVI, ILI NIMPAATE KRISTO.
- NDIYE MUNGU ATENDAYE KAZI NDANI YENU CASFETA 2017
- NDIYO DHAMBI
- NENO KWA AJILI YA VIONGOZI WA IBADA WAIMBAJI NA WANAMUZIKI
- NGUVU YA FIKRA CHANYA: USIKATE TAMAA!
- NIDHAMU ZA MTUMISHI WA MUNGU
- Nipe Maji Ninywe
- Nyimbo za Kikristo kwa Kiswahili na Kiingereza
- Nyimbo za Kimaasai za Injili
- NYIMBO ZA KISASA
- NYIMBO, HADITHI ZA BIBLIA NA JESUS FILM
- Nyumba ya Mungu ni nini?
- OSOTUA NGEJUK
- Osotua Ngejuk kwenye Internet
- PASIPO MAONO WATU HUANGAMIA
- Repenting for the sins of the Nation
- SABABU YA UMASKINI NA UFUKARA NI NINI?
- Semina ya Viongozi Morogoro 2015
- Semina ya Zanzibar 2016: Usizoelee kuwa Mkristo
- Semina: Dar Es Salaam Sept. 2015
- Semina: Gairo Septemba 2015
- Semina: Morogoro Septemba 2015
- Semina: Zanzibar Septemba 2015
- SIYO SAWA! MAMBO YA NDOA
- Somo juu ya Maombi – Marco Bashiri
- Spiritual Warfare and Territorial Spirits
- SUCCESS AND THE POWER OF POSITIVE THINKING
- Sunday Morning
- Tabia ya Maji ya Uzima
- The Covenants and Sin
- The False Teaching of ‘Mafanikio’ (Success): University of Dar-Es-Salaam 2016
- The False Teachings of the Seventh Day Adventists
- THE KINGDOM OF GOD AND SOCIAL ACTION
- THE POWER OF POSITIVE THINKING. DON’T be discouraged! You WILL succeed!
- THE PRINCIPLES OF BIBLE STUDY
- THE QUESTION OF WOMEN PASTORS
- THE TRINITY
- THE USE OF SPIRITUAL GIFTS: TONGUES
- Tithing and Offerings: University of Dar-Es-Salaam 2016
- TOKA UTUKUFU HATA UTUKUFU / FROM GLORY TO GLORY
- TUMESHINDWA KUTOFAUTISHA UKWELI NA UCHOCHEZI
- Ubatizo kwa Roho Mtakatifu na Moto
- Ufahamu wako wa neno la Mungu hautegemei akili yako ya kibinadamu, au elimu yako.
- UFALME WA MUNGU 1: SHOKA LIMEKWISHA KUWEKWA KWENYE MIZIZI
- UFALME WA MUNGU 2: SEMINA YA CASFETA
- Unclean images and the Internet
- Uongozi na Wachungaji wa Kweli: Semina ya Viongozi
- Uongozi na Wahubiri wa Kweli: Semina ya Viongozi
- Upendo wa Kwanza
- USHIRIKA NA UMOJA
- Ushuhuda wa Marco Bashiri: Neema ya Mungu kumwokoa mtu kwa Nguvu na Ukuu Wake
- UTOAJI NA KIKIUMI / JAMBO LA UNYONYAJI
- UZIMA WA MILELE NDIO HUU
- UZIMA WA MILELE NI NINI?
- Uzima wa Milele ni nini? Injili ni nini?
- VITA VYA KIROHO : ROHO ZITAWALAZO MAENEO
- Vita vya Kiroho na Kuomba kweli kweli!
- Vita vya Kiroho na Maombi: Roho Zitawalazo Maeneo
- WACHUNGAJI WANAWAKE?
- WAFILPI SURA 2
- WAZEE NA WACHUNGAJI
- Wewe ni Mfungwa wa nini?
- Wewe ni Mfungwa wa nini? (Kusikiliza)
- What is the ‘House of God’?
- WHY THE COVENANTS
- YESU ALIPO YOTE YANAWEZEKANA.
- YESU ANATOSHA / UNATAKA NINI: SEMINA YA CASFETA
- YESU NI NJIA: SEMINA YA CASFETA
- ‘HU BARIDI WALA HU MOTO’
- “Sikutamani Fedha wala Dhahabu, wala Mavazi ya Mtu.”
Raphael
May 22, 2015 at 9:47 am
Karibu pia Zanzibar. Tunakuhitaji huku kwa ajili ya kazi ya Mungu. Napenda sana mafundisho yako na nimekuwa nikufatilia sana. Tutagarimia malazi na chakula during your stay.
Raphael Masese.
Mzee wa kanisa TAG (chuini)
Raphael
May 22, 2015 at 10:02 am
Tafadhali tunakukaribisha njoo Zanzibar. Tunatamani kile ulichonacho/alichokiweka Mungu ndani yako nasi tunufaike kiroho. Karibu sna. Naomba kusikia kutoka kwako through my email address ( rmmbunduki@bot.go.tz)
Ibrahim mwinuka
May 23, 2015 at 10:11 am
Karibu sana kanisa la Zambia Huduma yako imekuwa Baraka sana kwangu Karibu MUNGU akubariki
Anonymous
May 23, 2015 at 12:05 pm
Nasi tunakuhitaji kwa mafundisho mazuri sana,karibu dar.
dsta12
May 23, 2015 at 12:28 pm
Asante Ibrahim. Nitawakumba kama ikiwa nitapata nafasi ya kuja Zambia!
Paulo IsY
May 23, 2015 at 12:53 pm
Karibu sanaArusha wilaya ya Monduli kata ya mtowambu
dsta12
May 26, 2015 at 7:58 pm
Asante Paulo! Kama nikija Arusha siku moja nitakumbuka!
YUSUPH Z LUSINGO
May 26, 2015 at 2:40 pm
NIMEFURAHI SANA BABA JUU YA HUDUMA HII’ SINA LAKUSEMA ZIDI YA KUFURAHI WITO HU MKUBWA NAMNA HII,LAKINI NAJIULIZA HUDUMA HII ITA NIFIKIAJE ILI KUUNGANA MANA MIMI NINA TUMIKA KATIKA MAOMBEZI ‘NINA FANA HUDUMA KITUO NI NYUMBANI KWANGU SASA SIJUI NIFANYE NINI ILI NIWE KARIBU NAWE BABA nipo tanzania mkoa morogoro wilayani gairo kijiji chakwale watu ni wengi lakini mazingila ni magumu kihuduma pia niko tayari nikishauriwa:
dsta12
May 26, 2015 at 8:02 pm
Asante Yusuph! Kwa neema ya Mungu nitafika Gairo Septemba, yaani, nitafundisha katika kanisa huko Moleti karibu sana na Gairo. Nilikutumia urafiki kupitia facebook na utakapopokea, tunaweza kuwasiliana kupitia facebook – au unayo email anwani? David
Eliya Julius
June 1, 2015 at 7:29 pm
I want to be your partner in dar es salaam. JESUS COMING SOON.
THANKS
PST.Pascal Nyangi
June 5, 2015 at 10:10 am
Nimefurahi kusikia huduma hii Mungu akubariki sana.Mimi namtumikia Mungu hapa dar tz, nimeona changamoto kubwa sana kwenye kazi ya Mungu. Najipanga vilivyo kwa ajili ya kumtumikia Mungu. Nimekuwa nikimtumikia Mungu kama mchungaji wa Kanisa la Pentecostal Holiness Mission japo mimi ni mfanyakazi wa serikali. Najiandaa kustaafu kazi ya serikali ili nifanye kazi ya Mungu tu.
Pascal Nyangi
June 7, 2015 at 6:13 pm
Ninafurahia sana Huduma hii hasa ninaposoma màsomo yenu nà kusikiliza audio za masomo haya na nimefurahia zaidi nilipoona picha za huduma mlizofanya Morogoro sehemu ya dumila.Mungu awabariki sana kwa Huduma,
dsta12
June 7, 2015 at 6:34 pm
Nafurahi umebarikiwa!
PST.Pascal Nyangi
June 8, 2015 at 6:16 am
Maono yangu juu ya kazi ya Mungu ni kuwa natamani niweze kuwa na muda mnzuri wa kumtumikia Mungu, ndiyo maana najiandaa kustaafu kazi ya Serikali. Tangu nianze kumtumikia Mungu nimeanzia kufanya kazi ya Mungu pale Kinondoni na nimeacha kanisa ambalo tayari tulifanikiwa kuwa na jengo la kwetu na kazi ya Mungu inaendelea vinzuri. Nilikuja huku Temeke kufungua kazi nyingine na tunaendelea nayo ila huko bado kuna changamoto kubwa hasa ya kimazingira kwani bado hatujawa na jengo la kanisa la kwetu tunapanga (tunakodi) sasa hili jambo kwa sababu hatujawa na uwezo kifedha wa kununua uwanja wa kwetu, tunashindwa kufanya mambo mengi ya huduma. Mfano tumeanzisha huduma ya watoto, tuna madarasa ya watoto hawa tunawafundisha neno la Mungu na tunawasaidia baadhi ya mahitaji yao hasa ya shule maana wanasoma. sasa changamoto ya kukosa madarasa maalum na ofisi kwa ajili ya huduma hii imekuwa ni kubwa. Tungekuwa na kiwanja na majengo yetu hili hangesumbua. Maono yangu hasa juu ya kazi ya Mungu ni kufanya kazi Mungu kama Mchungaji, kuwa na huduma ya kuwalea au kuwasaidia watoto wenye mazingira magumu kuwafundisha neno la Mungu kama tuluvyoanza sasa,kuwasaidia watoto yatima na wajane na kupanda makanisa sehemu ambazo bado, dar ni kubwa sana na ina watu wengi lakini bado hatujaifikia. Natamani kufanya hayo na ndiyo shauku yangu. Kwahiyo changamoto ni hizo hasa, nina imani kubwa kuwa Mungu atafanikisha maono haya ,Mungu akubariki.
Pst Pascal
dsta12
June 10, 2015 at 8:00 am
Ni kazi nyingi! Mungu akuongoze kwa njia Zake!
Pascal Nyangi
June 10, 2015 at 8:57 am
Nilitamani sana kujua ratiba yenu ya huduma mtakapokuwepo dar es Salaam
dsta12
June 10, 2015 at 9:34 am
Pascal, nipe email address yako na nitakuitumia ratiba yangu. Ya kwangu ni dsta12@hotmail.co.uk
richard mbumi
June 12, 2015 at 8:19 am
Mimi ni pastor niko Arusha Tanzania nimependa huduma yako nipigie nambar 0759085000
nathaniel kipanga tunduru
August 20, 2015 at 3:35 pm
nimefurahi kuona huduma unazotoa mungu akubariki kwa kazi yako karibu tunduru
dsta12
August 20, 2015 at 3:56 pm
Asante sana, Nathaniel!
Faraja
September 20, 2015 at 3:29 pm
be…blessed…the…man…of…God
mbungeelectronics
October 10, 2015 at 12:32 pm
bwana asifiwe mtumishi nimefurahisana kusoma taarifazako napendakukukaribisha Tanzania iringai
Rev Ezekiel Ole Sasine
November 9, 2015 at 12:36 am
Njoo na karibu pia hapa kwetu mbeya na iringa. Mimi ni mwalimu wa chuo cha biblia kwa wafugaji cha ilambilole iringa
Joshua Mwakasege
November 15, 2015 at 12:40 pm
Karibu Sana Kilimanjaro Tanzania
Kurwa Mar
November 21, 2015 at 8:25 pm
Karibu kigoma kufundisha neno la Mungu,
Frank Mwasenga
December 21, 2015 at 4:15 am
nimefurahishwa sana na huduma yako,natamani kujiunga na huduma yako, Mimi nipo KKKT kimara-king’ongo E-mail yangu ni frank66jack@yahoo.com simu. ni 0784840303,Mimi hapa ni katibu .msaidizi wa uamsho kanisani
kamerina kanini
April 6, 2016 at 7:56 pm
nina taka biblia kwenye sim ya ngu
DOTO OROM
April 28, 2016 at 7:25 am
MUNGU NAAZIDY KUKUFUNULIA KTK KAZ YAKE NA UITENDE KWA UAMINIFU AMEN NIMEFURAHISHWA SANA NA HUDUMA YAKO KWA MUNGU.N
Peter Mattimba
May 23, 2016 at 2:58 pm
Mtumishi Wa Mungu Ubarikiwe Sana Kwa Kazi Nzuri. Mimi Ni Mch. Peter Mattimba Mwanzilishi Wa Huduma Ya Full Evangelical Salvation Gospel Ministry Dar Es Salaam, Huduma Yetu Bado Changa, Ninaomba Ushirikiano Wako, Karibu Dar Es Salaam Nitakuwa Mwenyeji Wako,
dsta12
May 23, 2016 at 3:31 pm
Peter Matttimba, asante kwa ujumbe wako lakini kama ukitaka kuwasiliana nami, lazima unipe email au numba ya simu yako. Asante.
Mch. Peter Mattimba
May 24, 2016 at 8:13 pm
Ubarikiwe Sana Kwa Huduma Nzuri, Yenye Maana . Mimi Ni Mch. Peter Mattimba Mwanzilishi Wa The Full Evangelical Salvation Gospel Ministry Hapa Dar Es Salaam, Naomba Ukija Karibu Niwe Mwenyeji Wako, Katika Utumishi Tutumike Pamoja Pia, Ubarikiwe Sana !
Jastni mekacha
September 3, 2016 at 2:56 am
Napenda muumba
Anonymous
November 23, 2016 at 1:33 pm
KARIBU SANA SINGITA
Anonymous
February 1, 2017 at 11:12 am
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa huduma hii ambayo Mungu ameiweka ndani yako.
Fabian
February 1, 2017 at 11:14 am
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu, ni jambo lenye hekima na hazina kubwa kujitoa kwa ajili ya kazi ya Mungu.!
ROSE JOHN FORCUS NYON
February 14, 2017 at 9:46 am
KARIBU SANA MBEYA KANISA LA (EAGT ) MWANJELWA MAFYAT MUNGU AKUBARIK
JOEL e mweta
April 14, 2017 at 4:11 pm
hongera hongera kwakazi hii njema tuliyo itiwa kwamba tuifanye lakin mm ninaswal
kwamba katk mafundisho meng unayo fundisha je sabato ya biblia ww kama mtumish una itazamaje na unaifundishaje ?
maan zabur 56:6 -7 inasema sabato ninyumba yangu ya sala kwa mataifa yote
ww kama mtumishi una washawi shije waumin kuitii amri hii
Gabriel Masakwi
May 30, 2017 at 7:25 pm
God’s will upon man cannot be prevented, I believe you’re facing a lot of challenges, being a pullback to avoid the planned idea and goals to people of Tanzania, but he who started this will complete it, may you be strengthened and protected together with you co-workers man of God by the fresh living blood of Christ Jesus, amen. You are blessed
jacjson magesa
June 9, 2017 at 3:42 am
hongera kwa kaz nzur unayo ifanya nahtaji kufanya kazi na wewe mimi naitwa jackson magesa wa mugumu serengeti mkoa wa mara
MWALIMU SIGSMUND WOISSO
June 20, 2017 at 6:42 am
HII NDIYO HUDUMA YA KUJITOA. NIMEONA WIVU MTAKATIFU. BARIKIWA NA BWANA NAMI NITAMUOMBA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI.
gladness orgeness
June 29, 2017 at 9:33 am
Mungu akubariki sana kwa huduma yako. Ukweli ni kwamba imenifungua ufahamu wangu na, na, kwa wale wanaotuhubiria injili za kutafuta utajiri naomba wakopy injili ya kirsto kwa David. Nimejaribu kuprint handout zako nazisoma kila wakati. kwa sasa mtu hanidangaji na mahubiri yake ya kitapeli. Karibu sana Kibaha mkoa wa Pwani uje utupe injili ya kweli.
Anonymous
August 16, 2017 at 7:35 am
Amina Mungu akubariki sana, makala na mafundisho yako yamekuwa nguzo kwangu. Nakufuatilia sana na nimetumia hadi makala zako kufundishia na masomo yako nimeyatumia pia yamekuwa baraka kwangu na yamekuwa baraka kwa watu wengine pia. Mungu akutie nguvu kuendelea na huduma hii
Davidi Chacha
August 16, 2017 at 7:37 am
Amina Mungu akubariki sana, makala na mafundisho yako yamekuwa nguzo kwangu. Nakufuatilia sana na nimetumia hadi makala zako kufundishia na masomo yako nimeyatumia pia yamekuwa baraka kwangu na yamekuwa baraka kwa watu wengine pia. Mungu akutie nguvu kuendelea na huduma hii
Anonymous
September 23, 2017 at 11:19 am
Ubarikiwe sana kwa kazi nzuri. Kwa mafundisho email yangu ni lshangali@hotmail.com
Anonymous
October 10, 2017 at 6:08 am
barikiwa sana mtumishi Mungu aendelee kukuinua zaidi nimefurahiswa na huduma yako karibu uje kwetu Monduli kwa huduma mtumishi Email yangu ni Hannah_sam62@yahoo.com barikiwa zaidi na karibu sana.
Anonymous
January 4, 2018 at 11:33 am
MUNGU AKUBARIKI KWA HUDUMA YAKE ALIYO KUITIA
evarist tumba
February 15, 2018 at 10:19 am
may god Bless you sir , u are welcome again to tanzania, my name is pastor Evarist tumba of kanisa la Mji mtakatifu ( the church of the holy land) Dar es salaam contacts +255 716 96 80 33
EV,MCHUNGAJI,PHINIAS ODONGO OGANGA
March 6, 2018 at 1:19 pm
Mtumishi wa mungu akika huduma yako ni huduma huru,imepata kibari moyoni mwangu,nami bwana amenipa kibari cha kusimika huduma huru isiyo fungamanishwa na chama,dini,au,theebu itwayo (UFUNUO WA UMOJA WA ROHO URIMWENGUNI) ninashauku ya kuungana nanyi iri kuieneza injiri ya Wokovu wa yesu kristo.Naomba mtutemberee kanisa limefuraiya kupata tarifa ya utendaji wa ujenzi wa ufalme wa Mungu.Tuko mkoa Mara,wiraya Serengeti mji Mugumu Mtaa chamoto.
Kwenye facebook natumia jina( PHINIAS ODONGO)
Ninawakaribisha watumishi wa Mungu ninapatikana kwa sim namba,0683416008.Namungu awajariye miguu mwepesi ya kufika Serengeti amina.
dsta12
March 8, 2018 at 5:11 pm
Phinias, tayari nimeshakutumia email. Je, umeipata? Numba ya simu yangu ni +255 7985653844.
Nepasnay rokoine
July 7, 2018 at 11:47 am
jamani ni huduma nzuri sana hakika mungu atakubariki kweli,
Hansmleke
October 2, 2018 at 3:42 pm
NIMEFURAHI SANA KUONA HUDUMA HII. MIMI NI MCHANGA KIIMANI BABA YANGU NI MUISLAMU MAMA NI MKRISTO , NAMIAKA 30 NAISHI MOROGORO, ELIMU YANGU NI KIDATO CHA NNE.
NAITWA HASSANI MLEKE,
KWA JINA LINGINE HANS MLEKE
PHONE NO +255744468364
EMAIL nabiihans@gmail.com
Edina lwanda
October 18, 2018 at 8:23 pm
Mungu akubarik sana kwa ajili ya kazi yake sifa na utukufu na kwa Mungu wetu
Joseph mambo
November 6, 2018 at 8:25 am
Mungu awabariki ksa kazi njema mnayo ifanya kwa ajili ya mwili wa kristo(kanisa)
Hansmleke
December 14, 2018 at 6:56 pm
Mungu akubariki mtumishi